CHOBA

CHOBA

TZS 15,000
-
Pages
Pdf
Format
Lifetime
Access
0
Sales

Promote this ebook & Earn!

Earn commission for every sale you refer. Join our Affiliate Program

Description

Kisa cha Kijana Choba ni hadithi ya kuonesha jinsi maisha
duniani hapa yawezavyo kumbadilikia mtu katika kuishi
kwake. Anaanza kwa shida kwa sababu ya uhasama wa watu
wengine, Lakini Mungu mweza yote anambadilishia maisha na
kujikuta amekuwa tajiri bila kujua.
Choba na Bonge walikuwa watu wa damu moja lakini
hawakufahamiana hadi mwisho katika harusi ya Choba. Mzee
Juma aliishi kwa shida baada ya Mkewe na mtoto kumtoroka na
kumwacha peke yake. Lakini bila kujua akamkarimu Choba
alipokuwa kwenye hali ya ufukara mkubwa. Wawili hawa
wakakutana na Bonge aliyewahisani na kuwafanya matajiri.
Ma Jesca na bintiye wakarudi kwa Mzee Juma baada ya kuona
kumenoga. Kijana Choba hakukawia kuona, Umama wa
nyumbani, kwa Jesca. Bila kukawia akawahisha barua ya posa
ambayo ilipokelewa na kukubaliwa. Hata hivyo mambo ya posa
na mahari yalipigwa Stop hadi kumaliza masomo yaliyotakiwa ili
waweze kupokea ajira katika Kiwanda cha CHOBEMICO.
Jesca na Choba walipokuwa masomoni Canada hawakutetereka
katika mahusiano. Walijiweka katika hali ya utawa hadi
waliporudi nyumbani na kufunga ndoa katika harusi iliyofana .
Hili ni somo kwa vijana wa leo wanapokuwa chuoni wazingatie
masomo ili kuepuka hali ya mapenzi na kujamiana ambavyo
huwaletea madhara. Kujamiana ni heshima ya watu walio
kwenye ndoa. Nje ya hapo unakuwa umetenda dhambi mbele ya
Mungu, kwa wazazi na jamii pia.
Novel
Share this product: Facebook WhatsApp

About the Author

D

donsonster@gmail.com

I, DONALD MREMA, I am finishing writing this excursion at the age of 87, God be praised. However, how did I manage all these years? It is best thinking back over the years and remember, with gratitude, the forbidding obstacles overcame. It was by the grace of the Almighty that I am here and talking to you through this pen. Let me share with you some of the escapades encountered. They all began when I was still young and have been with me in memory to date.

View all books

Customer Reviews

No reviews yet. Be the first to review!