Fahamu Kuhusu Sisi

Kuhusu HabariTech

Sisi ni Habaritech

Rafiki yako tangu 2020

Rahisi kuwasiliana nasi

info@habaritechnology.com

Mazungumzo na IT

charlesvenny@gmail.com

Whatsapp

(+255) 753 607 400

Our Partner

Global Partner

Kuanzisha

9th November 2020

Kuanzishwa kwa Habaritech

Muanzilishi wa HabariTech (Charles Chambila) alianzisha jukwaa la HabariTech kupitia mtandao wa X. Lengo lilikuwa kujenga jamii ya watu wa tech mtandaoni na kutoa elimu ya Tech bure.

Kukua

5th May 2021

Machapisho ya Magazeti

Mwezi May mwaka 2021 HabariTech ilianza kutoa machapisho ya magazeti ya tech kwa kiswahili bure. Magazeti haya yalisambazwa kupitia Whatsapp, M-Paper, Gumroad na E-mail.

Kileleni

3rd June 2022

Kushiriki Matukio

Kuanzia June 2022 Habaritech tulianza kupokea mialiko mbalimbali ya kutoa elimu ya tech na cryptocurrency katika majukwaa kama Binance na Maujanja Community.

0