Disease control and prevention

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA KISONONO (GONORRHEA)

Gonorrhea ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria aina ya gonococcus wajulikanao kama Neisseria gonorrhoeae.

Hapa tutaangazia kwa kifupi sana vitu vinne kuhusu gonorrhea

→Maambukizi

→Dalili (utagundua vitu unaambukizwa gono) commonly kwa wanaume.

→ matibabu ( Dawa za kutibu na namna sahihi ya kutumia)

→Namna ya kujikinga .

MAAMBUKIZI

Ugonjwa huu unaambukizwa kwa njia ya kujamiiyana (Sexual transmission). Asilimia kubwa wanaume hupata Gonorrhea baada ya unprotected sex with infected partner.

DALILI ZA GONORRHEA KWA MWANAUME

· hutokwa na usaa au majimaji kwenye njia ya mkojo. (Penile Discharge)

·Kupata maumivu wakati wa kukojoa au kuhis mkojo unamchoma (Dsyuria)

NOTE: dalili zote hizi huonekana ndani ya masaa72 tuu baada ya kufanya Mapenzi na mwanamke kwenye Gono.

MATIBABU

-Azithromycin 1g PO start

-cefixime 400mg PO start

Au

-Inj. Ceftriaxone 1g IV start

-Metronidazole 2g PO start

-Dxycyline 100mg PO b.d ×7/7

NAMNA YA KUJIKINGA

-Kutumia kondom

-kuwa mwaminifu kwa mwenza/mpenz wako

-kuhakikisha mwenzio na anapatiwa matibabu sahihi