Nilipoanza safari ya kutafuta pesa online ukweli ni kwamba sikuwa na idea kubwa sana. Nilikuwa najua vitu kidogo tu programming, copywriting na marketing ya basic level but sikuwa najua pa kuanzia kuuza.

Siku moja nikakutana na platform mbili: Habari Duka na Nisapoti.

Kwenye macho yang hizi zilionekana kama shortcut ya kuingia kwenye game bila stress ya kutengeneza website yangu mwenyewe.

Nikaanza na Habari Duka.

Kitu cha kwanza kilichonivutia ni urahisi. Hakukuwa na mambo mengi ya technical. Nilichofanya ni:

Nilipoi-upload pale nilihisi kama “okay… sasa officially nina product online.”

Lakini hapo ndipo reality ikaingia.

Hakuna mtu alinunua siku ya kwanza na niliamua kuweka free ili niiosome zaidi platform ya habariduka jinsi inavyofanya kazi. Hii platform ilinipa feeling tofauti kidogo kama vile unaruhusiwa kuuza kwa watu wako directly zaidi.

Nikaanza kuelewa concept ya:

  • Umuhimu wa kuujenga audience
  • Kutoa value kabla ya kuuza
  • Kuwafanya watu wakujue kwanza

Hapo ndipo nikabadilisha strategy.

Badala ya kusema “nunua ebook yangu”, nikaanza:

  • Kufundisha vitu bure kwenye posts
  • Kushare experience yangu kama beginner
  • Kuonyesha watu kile wanachokosa

Polepole watu wakaanza kupata attention, sale ya kwanza, Ilikuwa ndogo lakini impact yake ilikuwa kubwa sana kwangu. Be Your Own Boss now ina sales zaidi ya watu 25.

Hapo sasa ndio nikapata uthibitisho kuwa Inawezekana.

Tangu hapo, nilianza kuona hizi platform mbili sio kama sehemu ya “kupost bidhaa tu”, bali kama tools za:

  • Kuanza bila mtaji mkubwa
  • Kujifunza marketing kwa vitendo
  • Kujenga confidence ya kuuza

Leo nikimuangalia yule mimi wa mwanzo, naona wazi kabisa Sikuwa nakosa uwezo nilikuwa nakosa mfumo tu.

Na Habari Duka pamoja na Nisapoti zilikuwa mlango wangu wa kwanza kuingia kwenye dunia ya online income.

Angalia hii:

Hiyo ni dashboard ya habari duka kwenye upande wa produt yangu ya kwanza ya eBook ya "Be Your Own Boss"

Uzuri wa habari duka ni kwamba mteja akinunua product yako unapata message kwenye email yako na mteja alienunua utaona email yake na namba yake ya simu. Pia niligundua kuwa unaweza kukusanya emails za watu wote walionuna bidhaa yako ukazifanyia email marketing.

Angalia hapa kwa mfano:

Nadhani mpaka sasa umeelewa. Na pia mteja anaenua unaweza kupata namba yake. Unaweza kuzitumia namba za wateja wako ukaongeza viewers wengi whatsapp na ukafanya Whatsapp marketing.

Angalia hii:

Nisapoti ina sehemu ya kuwekea product pekee ndio maana sitaizungumzia sana. Unaweza kutumia hii Habariduka kwa mambo mengi tu kama: kuandika articles, Booking ya mastercalss, Kupandisha eBook yako, kufanya affilliate marketing nk... na kila digital product yako unaweza kuwekea ada.

Tumia hii link kujisajili kwenye platfom ya nisapoti: https://nisapoti.com/ref/mwanahisabati

Tumia hii link kujisajili HabariDuka: https://duka.habaritechnology.com/

Mwisho

Njoo DM direct kwenye account yangu ya X uombe premium articles yoyote unayoitaka. Hakikisha uwe umenunua eBook yangu ya Personal Brand first.

Kama bado hujapata eBook ipakue hapa:

https://duka.habaritechnology.com/book.php?slug=monetize-your-personal-brand-2

Follow me on X: @ArthurGeil // www.x.com/ArthurGeil

Ubarikiwe.